Enter Adress

Monday, November 5, 2012

HATA KAMA TUNATOFAUTIANA KIMAWAZO KUPONGEZANA NI KITU KIZURI



Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza Mbunge wa Hai na Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe Freeman Mbowe kwa hotuba nzuri ya kumkaribisha na kumsifia kwa kazi anayofanya katika maendeleo ya miundombinu nchini katika eneo la sherehe za uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya Kwa Sadala-Masama wilayani hai.











No comments:

Post a Comment