Msanii anayeondoka na style za Rnb
hapa bongo huyu si mwingine namzungumzia Ben pol.Msanii huyu amesitisha
kufanya collabo na wasanii mpaka amalize project ya nyimbo yake inayofahamika
kwa jina la Pete.kwani ameeleza kwamba utakuta anatumia muda mwingi sana katika
kufanya collabo na wasanii wa hapa nchini na hicho ndicho kinachomfanya
asimalize project zake. kwa hiyo amesitisha kwanza mpaka amalize project yake
ya pete ndipo atachukua uamuzi wa kufanya collabo na wasanii.Hayo ndiyo maneno
ya Ben Pol akifunguka kuhusiana na sababu za kutokufanya collabo.
Enter Adress
Friday, August 31, 2012
Thursday, August 30, 2012
Monday, August 27, 2012
Saturday, August 18, 2012
Friday, August 17, 2012
Monday, August 13, 2012
Friday, August 10, 2012
Monday, August 6, 2012
Thursday, August 2, 2012
Wednesday, August 1, 2012
HABARI KUHUSIANA NA CHAMELEONE (By David Kibanga)
Muimbaji
chameleon kutoka Uganda ni mwizi sana
.Hapa Uingereza amesha tapeli watu kishenzi staili hio
hio na maneja wake. Ni mchezo wake.Akirudi
hapa UK anaweza kupigwa mawe.Bangi zina
msumbua tuu.Yeye ninani mtu amabe hawezi
kumuheshimu mwakilishi wa Rais wetu Uganda
-Balozi wetu pale kampala.Nashanga serikali ya
Uganda wamemsikiliza na kuifanya hii ishu
itake kuharibu uhusiano mkubwa kati ya
nchi hizi mbili.Hivyo chameleone mnamjua
? juzi kawa muislam kesho yake karutadi
tena .Bangi haziwezi zina mpelekesha. Anafaa
kua jela maana ni msani jambazi.Huko
kampala na sikia wamesha rushiana risasi na
msani Bobby wine. Naomba watanzania wote
tumzomeye chameleon na asirudi tanzania tena
kwa tabia yake tena . Hon membe
tunaomba hili ulifanyie kazi kwamba wageni
hawezi kuja na wakatu abuse hata nyumbani
kwetu. Bwana Erik nawe usije uka shika
pasport ya mtu ni document ya
serikali wala sio mtu binafsi
Subscribe to:
Posts (Atom)