Enter Adress

Monday, July 30, 2012

VITUKO NDANI YA FACEBOOK NA MASANJA MKANDAMIZAJI


PICHA KALI TISA ZA MATUKIO YA OLIMPIC




HAWA NDIO WAJAMAICA WAKIINGIA UWANJANI


 KWA MWONEKANO WAINGEREZA WAMEJITAHIDI KUANDAA KAMA WENYEJ


 WAKANADA NAO HAWAKUA MBALI


 BASKETTBALL STAR LEBRON JAMES AKICHUKUA PICHA ZA MATUKIO MBALI MBALI


WACAMEROON WAKISHANGILIA KWA FURAHA


NDUGU ZAKE OBAMA HAO KAMA KAWA MAUZOOOO


 CHEZEA MWINGEREZA WEWE


HAYA NDUGU ZANGU WALA HAWANA MAKUU WATOTO WA JK HAO (TANZANIA) LOVE YOU GUYS.... WISH YOU ALL THE BEST

 

Wednesday, July 25, 2012

DROGBA NA TIMU YAKE YA SHANGHAI


Hamu ya kumuona Didier Drogba akicheza kwa mara ya kwanza toka aihame Chelsea na kwenda China imetimia, hiyo hapo.
Timu yake ya Shanghai ilikua imeshafungwa moja tayari lakini alipoingia Drogba alisaidia na hatimae Cao Yunding kufunga goli la kusawazisha ambapo kabla ya hapo pia, Drogba alikosakosa magoli kadhaa likiwemo la kichwa na moja baada ya kuachia mkwaju ambao ulipanguliwa kwa tabu na kipa wa Guangzhou .
Hii ni mechi ya kwanza ya Drogba toka ajiunge na club hiyo ya China kwa dili la miaka miwili akiwa na mchezaji mwenzake wa zamani wa Chelsea Nicolas Anelka…. chek jinsi Drogba alivyocheza kwenye hiyo mechi yake ya kwanza ndani ya hiyo video hapo chini…..

Monday, July 23, 2012

PICHA YA WIKI (By David kibanga)




 KWA RESEACH ILIYOFANYWA NA MR. David kibanga , Baada ya miaka michache hali itakuwa hivi



Thursday, July 19, 2012

PICHA TATU ZA MATUKIO YA AJALI YA MELI ZANZIBAR




 WATU MBALI MBALI WALIJITAHIDI KUTOA MSAADA IWEZEKANAVYO










 HAPA NDIPO MELI ILIPO ZAMA


walio shuhudia wanasema meli iligeuka kichwa chini miguu juu kwa hiyo ilikuwa vigumu mno
kwa watu kupona  kutokana na wingi wa watu waliomo kwenye meli

(By David kibanga)

Wednesday, July 18, 2012

PICHA YA WIKI (By David kibanga)



 Ni vigumu sana kumsahau mtu uliye mpenda sana na hivi ndivyo ilivyotokea  kwa Rihana kwa kuachana na mpenzi wake wa zamani Chris brown.




Monday, July 16, 2012

Brand new video Chris brown- Don't wake me up


HII NDIO NYUMBA YA NE-YO KAMA ULIKUWA HUJUI (By David kibanga)

HUU NI MWONEKANO WA MBELE JINSI NYUMBA INAVYO ONEKANA.


wenzetu hutumia pesa nyingi kuwekeza kwa ajili ya kitu fulani lakini wa Tanzania huwaza kutumia pesa yote kwa ajili ya starehe.








  PA MISOSI APOOOO





 SEATING ROOM SASA HEEEEEEE





MAMBO YA BAFU AYOOO


SEHEMU YA KUPUMZIKIA NYUMA YA NYUMBA





PAKUTOLE MAWAZO APO


 SEATING ROOM

KITANDA CHA MZEE MZIMA SASA



Thursday, July 12, 2012

FAHAMU BIDHAA ZILIZO KUWEMO KWENYE BANDA LA KANUMBA THE GREAT NDANI YA SABA SABA by David kibanga

SUTI ALIYO IPENDA KANUMBA KULIKO ZOTE. ILIKUWA KWA AJILI YA KUTAZAMA TU SIO KWA KUUZA


Hii ni moja ya suti ambayo marehemu stev kanumba alipendelea kuvaa pake alipo pata shughuli maalum.





T SHIRT NAZO ZILIKUWEMO NDANI YA BANDA LA KANUMBA THE GREAT



















BIDHAA NYINGINE KAMA HIZI PIA ZILIKUWEPO



















www.daudikibanga.blogspot.com

Tuesday, July 10, 2012

MPYA KUHUSU JOHN TERRY By david kibanga







John Terry, mwenye umri wa miaka 31, na ambaye ni mchezaji soka wa Chelsea na vile vile timu ya taifa ya England, anashtakiwa kwa madai kwamba alimtukana Anton Ferdinand, kwa kutumia lugha ya ubaguzi wa rangi katika mechi uwanjani, madai ambayo John Terry ameyakanusha.
Inadaiwa Terry, nahodha wa timu ya Chelsea, alitamka maneno hayo dhidi ya mlinzi wa QPR, wakati timu hizo zilipopambana katika uwanja wa QPR wa barabara ya Loftus, mwezi Oktoba.
Kesi hiyo inatazamiwa itaendelea kwa siku tano katika mahakama ya Westminster, mjini London.
Ikiwa Terry atapatikana na hatia, hukumu kali zaidi itakuwa ni kutozwa faini ya pauni 2,500.
Ferdinand alisema mahakamani kwamba "wakati mtu anapoleta suala la rangi katika mchezo, huwa amezidisha matusi na kuyafikisha hatua nyingine".
Inadaiwa kwamba mlinzi huyo wa Chelsea alimuita mwenzake mweusi, na akitumia maneno pia yaliyohusishwa na ngono.
Mtaalamu wa lugha ya kutafsiri yaliyosema kwa kuangalia mdomo, Susan Whitewood, alithibitisha kwamba matamshi yasiyofaa yalitumiwa na Terry.
Ferdinand aliielezea mahakama kwamba awali hakudhani lugha ya ubaguzi wa rangi ilitumika.
Lakini baada ya mechi, rafiki yake wa kike alimchezea video iliyokuwa katika tovuti ya YouTube, na baada ya hapo, alibadilisha nia na kuamua kuchukua hatua za kisheria.
Ferdinand alisema kwamba kama moja kwa moja angelitambua Terry alimtukana uwanjani kwa kutumia matamshi hayo, basi papo hapo angeliwaarifu maafisa waliyosimamia mechi hiyo.