Enter Adress

Wednesday, July 25, 2012

DROGBA NA TIMU YAKE YA SHANGHAI


Hamu ya kumuona Didier Drogba akicheza kwa mara ya kwanza toka aihame Chelsea na kwenda China imetimia, hiyo hapo.
Timu yake ya Shanghai ilikua imeshafungwa moja tayari lakini alipoingia Drogba alisaidia na hatimae Cao Yunding kufunga goli la kusawazisha ambapo kabla ya hapo pia, Drogba alikosakosa magoli kadhaa likiwemo la kichwa na moja baada ya kuachia mkwaju ambao ulipanguliwa kwa tabu na kipa wa Guangzhou .
Hii ni mechi ya kwanza ya Drogba toka ajiunge na club hiyo ya China kwa dili la miaka miwili akiwa na mchezaji mwenzake wa zamani wa Chelsea Nicolas Anelka…. chek jinsi Drogba alivyocheza kwenye hiyo mechi yake ya kwanza ndani ya hiyo video hapo chini…..

No comments:

Post a Comment