Enter Adress

Sunday, October 21, 2012

Waislamu wakerwa na JK kutumia Jeshi na nguvu nyingi kwa kutatuwa matatizo ya wananchi.

Waislamu wengi wa Tanzania Bara wemonekana wakikerwa na kitendo cha Rais wa Nchi ambae ndio Amiri Jeshi Mkuu wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete Kuwatatulia Matatizo yao kwa Kutumia Mguvu Za Kijesshi.

Wengi wanasema hasira zao watazionyesha katika uchaguzi mkuu wa ccm 2015 kuipigia chadema chamaa kikuu cha upinzani ili kiondowe ccm kmadarakani.

Sasa ikiwa itakuwa hivyo na tujalie iwe hivyo yani nguvu za waislamu ambao ni wengi wakishirikiana na chadema jee kweli sisi itakuwa na ubavu wa kuzuwia wimbi hilo na nguvu hio?

Kwa upande wetu wa Zanzibar na harakati za ukombozi hilo pia litatusaidia sana kwa vile Nyani mkubwa akicha angushwa lalobaki tutajuwa jinsi gani Wazanzibar kuwazibiti.

Maana kufa kwa ccm ni kufa kwa power yote ya unyanyasaji kwa kutumia Vikosi vya ulinzi.
Na jengine ambalo ni muhimu nilitaka kujuwa vipi tume ya Mh Warioba na katiba ambayo inatarajiwa kuanza kazi 2014 huku tumebakiwa na mwaka moja tu, chadema kunyakuwa?

Sikuchukuwa mabilioni ya Watanzania walipa kodi kufunja tu.
Maana Chadema inasema Katiba itafumuliwa na kuanza mwanzo agenda ya kurudisha Tanzania huru kwanza halafu ndio kukaa mezani kuangalia maswala ya Muungano kwa wananchi wa pande zote mbili wanataka uendelee au vipi?.(source jamiiforums)

No comments:

Post a Comment